BILIONI 6 KUBORESHA HOSPITALI YA MIREMBE
Na Barnabas Kisengi Dodoma Serikali kupitia wizara ya Afya imetumia zaidi ya Tsh Bilioni 6 kuboresha miundombinu ya hospital ya Taifa ya Afya ya Mirembe Jijini Dodoma. Akizungumza wakati wa ziara ya kukagua maendeleo ya miradi ujenzi na kuongea na watumishi wa hospitali hiyo Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel amesema ujenzi huo umefikia
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed